LIGI YA TAIFA WAVU
                            
                                
                                     22 Sep, 2022
                                
                            
                            Mashindano ya ligi ya taifa hatua ya pili mpira wa wavu wanawake yakiendelea uwanja wa wa ndani wa taifa ambayo yalianza tarehe 20 na yatahitimishwa Septemba 24 jijini Dar es salaam.

