Generic placeholder
Bw. Leodegar Tenga

Mwenyekiti wa Bodi

Wasifu

Sisi ni nani

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ni Taasisi ya serikali iliyoundwa na Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa sheria Na. 12 ya mwaka 1967 na marekebisho yake ya sheria Na.6 ya mwaka 1971 na Kanuni za Baraza la Michezo la Taifa na Kanuni za usajili Na.442 za mwaka 1999 na ndio chombo pekee kilichopewa mamlaka na Bunge kusimamia Michezo nchini.  Aidha Baraza la Michezo la Taifa ni Taasisi iliyopo chini ya Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo. 
10 May, 2025
ZIARA VIWANJA VYA MICHEZO
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Paramagamba Kabudi...
10 May, 2025 ZIARA VIWANJA VYA MICHEZO
09 May, 2025
ELIMU
Watumishi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) leo Mei 09, 2025 wamenuf...
09 May, 2025 ELIMU
08 May, 2025
HAFLA YA UZINDUZI WA MASHINDAN...
Afisa Michezo mwandamizi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Charles...
08 May, 2025 HAFLA YA UZINDUZI WA MASHINDANO YA 'SAFA...
11 Apr, 2025
TUZO KWA WANAMICHEZO BORA...
TUZO KWA WANAMICHEZO BORA 2024
11 Apr, 2025 TUZO KWA WANAMICHEZO BORA 2024
02 Apr, 2024
Viongozi wa Chama Cha Mak...
02 Apr, 2024 Viongozi wa Chama Cha Makocha wa Mchezo...
02 Apr, 2024
Usaili wa Wagombea 'TACA'
02 Apr, 2024 Usaili wa Wagombea 'TACA'

Nifanyaje

A. KUSAJILI KWA KUPITIA MFUMO WA SARS : SaRS ni mfumo wa kidigitali unaomwezesha mdau/mteja wa michezo kuweza kujisajili online, pamoja na kupata huduma zote zinazohusu usajili kwa kutumia mfumo. Mteja/mdau ataweza kujisajili kwa kutumia mfumo. Taratibu za Kujisajili kwa Kupitia Mfumo wa SaR...
 ADA ZA USAJILI NA ADA ZA MWAKA. Mabadiliko haya ya Ada za Usajili na Ada za Mwaka ni kwa mujibu wa Kanuni ya 25 (5) ya Kanuni za Usajili wa Vyama vya Michezo 2020. Na. AINA YA CHAMA ADA YA USAJILI (Itatolewa mara moja wakati wa usajli tu)...
BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA LINAPATIKANA UWANJA WA TAIFA (GHOROFA YA PILI) S.L.P 20116 Dar-es-salaam,TANZANIA baruapepe : info@nationalsportscouncil.go.tz tovuti:-  https://bmt.go.tz/