Habari
13 Apr, 2025
NATIONAL TENNIS COMPETITION
Mashindano ya Taifa ya tenisi mpira wa meza yanaendelea leo Aprili 13, 2025 katika ukumbi wa JK Chande uliopo katika shule ya sekondari Shaban Robert jijini Dar es salaam.
13 Apr, 2025
NATIONAL TENNIS COMPETITION
NATIONAL TENNIS COMPETITION
11 Apr, 2025
MAFUNZO YA MCHEZO WA JUDO
RAIS wa Chama cha mchezo wa Judo Tanzania (JATA) Zaid Hamis amepata fursa kwenda nchini Hangari kuhudhuria mkutano Mkuu utakaofanyika kuanzia Juni 9-16 mwaka huu.
Ameyasema hayo leo Aprili 11, 2025...
11 Apr, 2025
MAFUNZO YA MCHEZO WA JUDO
MAFUNZO YA MCHEZO WA JUDO
11 Apr, 2025
MHE.RAISI AKUTANA NA SIR JIM RATCLIFFE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Jezi ya Timu ya mpira wa Miguu ya Manchester United ya Uingereza iliyosainiwa na Wachezaji wa Timu hiyo kutoka...
11 Apr, 2025
MHE.RAISI AKUTANA NA SIR JIM RATCLIFFE
MHE.RAISI AKUTANA NA SIR JIM RATCLIFFE
07 Apr, 2025
MAKOCHA 29 MPIRA WA WAVU WAFAIDIKA NA MAFUNZO SINGIDA
Makocha 29 wa mchezo wa wavu kutoka mikoa mbalimbali wamefaidika na Mafunzo ya Daraja la kwanza ya ukocha yaliyoanza tarehe 2 na kuhitimishwa April 7, 2025 Mkoani Singida.
Mafunzo hayo yameendeshwa...
07 Apr, 2025
MAKOCHA 29 MPIRA WA WAVU WAFAIDIKA NA MAFUNZO SINGIDA
MAKOCHA 29 MPIRA WA WAVU WAFAIDIKA NA MAFUNZO SINGIDA
06 Apr, 2025
TPSA YAPATA VIONGOZI WAPYA.
Chama cha mchezo wa Kuogelea kwa watu wenye Ulemavu Tanzania (TPSA) umepata Viongozi wapya katika uchaguzi Mkuu uliofanyika April 6, 2025 Kwenye ukumbi wa Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Vion...
06 Apr, 2025
TPSA YAPATA VIONGOZI WAPYA.
TPSA YAPATA VIONGOZI WAPYA.
26 Mar, 2025
UJENZI UWANJA WA DODOMA WAANZA, KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI 24
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amekabidhi eneo la mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa Miguu wa Dodoma kwa kampuni ya Limonta SPA...
26 Mar, 2025
UJENZI UWANJA WA DODOMA WAANZA, KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI 24
UJENZI UWANJA WA DODOMA WAANZA, KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI 24