Habari

22 Apr, 2024
TUZO ZA BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA (BMT)
Kamati za Michezo Mkoa na Vyama vya michezo, wasilisheni majina ya wanaowania tuzo za BMT 2023
22 Apr, 2024
TUZO ZA BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA (BMT)
21 Apr, 2024
HONGERA MAGDALENA SHAURI.
Hongera Sana Magdalena Crispin Shauri kwa kushinda mbio ya Shanghai Half Marathon 21KM kwa kutumia muda wa 1:09:57.
21 Apr, 2024
HONGERA MAGDALENA SHAURI.
20 Apr, 2024
TWENDE OLIMPIKI 2024
Baadhi wa watumishi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) leo tarehe 20 Aprili,2024 wameshiriki katika mbio ya Twende Olimpiki 2024 (5Km FunRun) zilizoandaliwa na ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania kwa...
20 Apr, 2024
TWENDE OLIMPIKI 2024
19 Apr, 2024
MHE: NDUMBARO AMKARIBISHA WAZIRI WA MICHEZO IVORY COAST KWENYE DERBY Y...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast Mhe. Adjé Silas ambaye yupo nchini kwa ziara ya kikazi. K...
19 Apr, 2024
MHE: NDUMBARO AMKARIBISHA WAZIRI WA MICHEZO IVORY COAST KWENYE DERBY Y...
19 Apr, 2024
CHANGALAWE AMPIGA TENA MMISRI NA KUTINGA NUSU FAINALI MASHINDANO YA MA...
Nahodha wa kikosi cha Faru Weusi wa Ngorongoro Yusuf Changalawe amefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kumchakaza mpinzani wake Abdelgawwad Orabi Salah kutoka Misri kwa points 5-0 usiku Ap...
19 Apr, 2024
CHANGALAWE AMPIGA TENA MMISRI NA KUTINGA NUSU FAINALI MASHINDANO YA MA...
15 Apr, 2024
UKARABATI WA UWANJA WA MKAPA UNAENDELEA KWA KASI.
Kaimu Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Milinde Mahona amesema ukarabati unaoendelea hivi sasa ni kukarabati eneo la kukimbilia mchezo wa riadha kwa kubadilisha kapeti la zamani. "Ukiangalia...
15 Apr, 2024
UKARABATI WA UWANJA WA MKAPA UNAENDELEA KWA KASI.