Habari

04 Mar, 2025
BMT YATETA NA WASIMAMIZI WA MICHEZO MKOA WA DAR ES SALAAM
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kupitia Kitengo cha Usajili leo tarehe 4 Machi 2025 kimefanya kikao na Maafisa Michezo wa Mkoa wa Dar es Salaam kuweka sawa usimamizi wa sekta ya hiyo Mkoani hapo.Kika...
04 Mar, 2025
BMT YATETA NA WASIMAMIZI WA MICHEZO MKOA WA DAR ES SALAAM
28 Feb, 2025
BMT YAGHARAMIA WACHEZAJI 20 MASHINDANO YA DUNIA
Baraza la Michezo la Taifa 'BMT,' limegharamia jumla ya wachezaji 20, ambao watano (5) ni mabondia wakike wa Timu za Taifa ya Ngumi za Ridhaa na 15 wa Mchezo wa Kabadi kwa ajili ya kuiwakilish...
28 Feb, 2025
BMT YAGHARAMIA WACHEZAJI 20 MASHINDANO YA DUNIA
28 Jan, 2025
SAMIA WOMEN BOXING CHAMPIONSHIP 2025
Mashindano mapya ya ngumi ya Wanawake ya Samia "SAMIA WOMEN BOXING CHAMPIONSHIP 2025" yanatarajiwa kauanza Ijumaa 31 Januari, 2025 mpaka 2 Februari, 2025 katika fukwe za Kawe Beach Club, Dar...
28 Jan, 2025
SAMIA WOMEN BOXING CHAMPIONSHIP 2025
27 Jan, 2025
KIKAO KAMATI YA MIPANGO NA FEDHA BMT
Kamati ya Mipango na Fedha inayoongozwa na Prof. Madundo Mtambo Makamu Mwenyekiti wa BMT Januari 27, 2025 Dar es salaam imekutana na Menejimenti ya Baraza kupitia utekelezaji wa maelekezo mbalimbali i...
27 Jan, 2025
KIKAO KAMATI YA MIPANGO NA FEDHA BMT
25 Jan, 2025
KING LUCAS MWAJOBAGA ALIHESHIMISHA TAIFA NCHINI TUNISIA KWA USHINDI WA...
Bondia Lucas Mwajobaga amefanikiwa kuibuka na ushindi wa kibabe dhidi ya Liduema Elder kutoka Angola katika mapambano ya kwanza ya semi-pro ya usiku wa Solidarty & Fratenity Boxing Gala (Mshikaman...
25 Jan, 2025
KING LUCAS MWAJOBAGA ALIHESHIMISHA TAIFA NCHINI TUNISIA KWA USHINDI WA...
21 Jan, 2025
KOZI YA USIMAMIZI WA JUU WA MICHEZO
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bw. Leodigar Tenga amewataka wahitimu wa kozi ya usimamizi wa juu wa michezo kutumia elimu hiyo kuendeleza michezo na kuwasihi kutoishia hapo bali wajien...
21 Jan, 2025
KOZI YA USIMAMIZI WA JUU WA MICHEZO