Habari

25 Jan, 2026
TIMU YA TAIFA YA WANAUME YA FUTSAL YA JIANDAA KUFUZU AFCON 2026.
Timu ya Taifa ya wanaume ya Futsal imeendelea na mazoezi katika uwanja wa Shule ya Filbert Bayi, Kibaha kujiandaa na mchezo wa kufuzu AFCON 2026 dhidi ya Ivory Coast Februari 3 2026, Zanzibar
25 Jan, 2026
TIMU YA TAIFA YA WANAUME YA FUTSAL YA JIANDAA KUFUZU AFCON 2026.
25 Jan, 2026
UCHAGUZI WA KAMATI YA PARALIMPIKI TANZANIA (TPC)
Uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Kamati ya Paralimpiki Tanzania (TPC) unafanyika leo, Januari 25, 2026, katika ukumbi wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo linawakutanisha w...
25 Jan, 2026
UCHAGUZI WA KAMATI YA PARALIMPIKI TANZANIA (TPC)
24 Jan, 2026
USAILI WA KUWAPATA VIONGOZI WA KAMATI YA PARALIMPIKI TANZANIA (TPC)
Usaili wa kuwapata viongozi wa Kamati ya Paralimpiki Tanzania (TPC) umefanyika leo, Januari 24, 2026, katika ukumbi wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Aidha uchaguzi wa kuwapata vio...
24 Jan, 2026
USAILI WA KUWAPATA VIONGOZI WA KAMATI YA PARALIMPIKI TANZANIA (TPC)
23 Jan, 2026
TBC, TSN NA BMT ZAKUTANA NA KAMATI YA BUNGE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Husna Sekiboko imekamilisha kazi yake kwa mepokea na kujadili taarifa za Taasisi tatu za wizara ya Habari, Utamad...
23 Jan, 2026
TBC, TSN NA BMT ZAKUTANA NA KAMATI YA BUNGE
22 Jan, 2026
UONGOZI MPYA WA JUDO TANZANIA WAKABIDHIWA OFISI RASMI
Uongozi mpya wa Chama cha Mchezo wa Judo Tanzania umekabidhiwa rasmi ofisi, makabidhiano yalifanyika chini ya Rais mpya aliyechaguliwa, Bw. Richard Marton Ndayirukiye, pamoja na Katibu wa Chama aliyem...
22 Jan, 2026
UONGOZI MPYA WA JUDO TANZANIA WAKABIDHIWA OFISI RASMI
20 Jan, 2026
BMT YAKUTANA NA WADAU WA MICHEZO.
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) leo tarehe 20 Januari, 2026, limekutana na wadau wa michezo kutoka sekta mbalimbali katika mkutano maalum wa kukusanya maoni kuhusu marekebisho ya Sheria za Baraza la...
20 Jan, 2026
BMT YAKUTANA NA WADAU WA MICHEZO.