Habari

02 Apr, 2024
TUZO ZA BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA (BMT)
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) linaendelea na maandalizi kuelekea kwenye siku ya Tuzo kwa Wanamichezo Bora zinazotarajiwa kutolewa mwezi Mei, 2024 Jijini Dar es salaam. #tuzozabmt
02 Apr, 2024
TUZO ZA BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA (BMT)
25 Mar, 2024
SERIKALI YAPONGEZA TIMU ZILIZOSHIRIKI MASHINDANO YA AFRIKA
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), limezipongeza timu zote za Taifa zilizoshiriki katika mashindano ya Afrika (All African Games) kuanzia tarehe 8 hadi 23 Machi, 2024 jijini Accra nchi...
25 Mar, 2024
SERIKALI YAPONGEZA TIMU ZILIZOSHIRIKI MASHINDANO YA AFRIKA
24 Mar, 2024
BMT YATOA MAELEKEZO KWA VIONGOZI WA TACA
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limewapa maelekezo viongozi wapya wa Chama cha Makocha wa Riadha Tanzania (TACA) kurekebisha katiba yao kwa maendeleo ya michezo nchini. Maelekezo hayo yametolewa l...
24 Mar, 2024
BMT YATOA MAELEKEZO KWA VIONGOZI WA TACA
24 Mar, 2024
NGUMI YAIHESHIMISHA TANZANIA MASHINDANO YA AFRIKA ACCRA
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Ngumi ya Tanzania almaarufu kama *"Faru Weusi wa Ngorongoro"* wamefanikiwa kuiheshimisha Tanzania katika michezo ya 13 ya Afrika Accra 2023 inayofungwa rasmi usik...
24 Mar, 2024
NGUMI YAIHESHIMISHA TANZANIA MASHINDANO YA AFRIKA ACCRA
23 Mar, 2024
UCHAGUZI WA CHAMA CHA MAKOCHA WA RIADHA TANZANIA
Usaili wa wagombea wa uongozi wa Chama Cha Makocha wa Riadha Tanzania (TACA) unaoendelea tarehe 23 Machi, 2024, kuelekea katika uchaguzi utakaofanyika Machi 24, 2024 Mkoani Dodoma.
23 Mar, 2024
UCHAGUZI WA CHAMA CHA MAKOCHA WA RIADHA TANZANIA
22 Mar, 2024
KIKAO NA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ELIMU, UTAMADUNI NA MICHEZO
Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bi. Neema Msitha akisema jambo wakati Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro akiwasilisha utekekezaji wa Bajeti ya Wizara na Taas...
22 Mar, 2024
KIKAO NA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ELIMU, UTAMADUNI NA MICHEZO