Habari
16 Jan, 2026
USAILI WA CHAMA CHA MCHEZO WA JUDO TANZANIA
Usaili wa kuwapata viongozi wa Chama cha Mchezo wa Judo Tanzania (JATA) umefanyika leo, Januari 16, 2026, katika ukumbi wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.
Usaili huo umefanyika ikiw...
16 Jan, 2026
USAILI WA CHAMA CHA MCHEZO WA JUDO TANZANIA
USAILI WA CHAMA CHA MCHEZO WA JUDO TANZANIA
16 Jan, 2026
MHE. MAKONDA KUWASILISHA UJUMBE MAALUM WA TANZANIA CAF
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda anatarajiwa kuwasilisha ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwenda kwa Ra...
16 Jan, 2026
MHE. MAKONDA KUWASILISHA UJUMBE MAALUM WA TANZANIA CAF
MHE. MAKONDA KUWASILISHA UJUMBE MAALUM WA TANZANIA CAF
15 Jan, 2026
TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B, WAFCON 2026
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, imepangwa katika Kundi B la Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, sambamba na timu za Afrika Kusini, Ivory Coast (C&oci...
15 Jan, 2026
TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B, WAFCON 2026
TWIGA STARS YAPANGWA KUNDI B, WAFCON 2026
15 Jan, 2026
BMT NA BASATA YAFANYA KIKAO CHA PAMOJA.
Maafisa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) leo Januari 15,2026 wamekutana na kufanya kikao cha pamoja chenye lengo la kujengeana uwezo na kuimarisha ushirikia...
15 Jan, 2026
BMT NA BASATA YAFANYA KIKAO CHA PAMOJA.
BMT NA BASATA YAFANYA KIKAO CHA PAMOJA.
15 Jan, 2026
KIKAO CHA MAPITIO YA TAARIFA
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma amefanya kikao cha mapitio ya taarifa za taasisi za wizara hiyo leo Januari 15, 2025, Mtumba jijini Dodoma
15 Jan, 2026
KIKAO CHA MAPITIO YA TAARIFA
KIKAO CHA MAPITIO YA TAARIFA
15 Jan, 2026
COMORO WAIPONGEZA TAIFA STARS
Balozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu leo amewapokea wachezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Comoro ambao wameipongeza timu ya Taifa ya Tanzania kwa mafanikio waliyoyapafa kwenye michuano ya A...
15 Jan, 2026
COMORO WAIPONGEZA TAIFA STARS
COMORO WAIPONGEZA TAIFA STARS

