Habari

10 Mar, 2024
TANZANIA YATOA SARE NA UGANDA
Mchezo wa Mpira wa Miguu kwa Wanawake chini ya miaka 20 uliochezwa machi 9, 2024 ikiwa ni mchezo wa kwanza wa wawakilishi hao wa Tanzania upande wa mchezo wa mpira wa miguu kwenye mashindano ya All...
10 Mar, 2024
TANZANIA YATOA SARE NA UGANDA
09 Mar, 2024
KUFUZU OLIMPIKI: CHANGALAWE APOTEZA KWA POINTI DHIDI YA MNORWAY
Jana ilikua siku mbaya kazini kwa bondia tegemeo wa Taifa Yusuf Changalawe baada ya kupoteza kwa maamuzi ya kutofautisha *(Split decision)* ambapo majaji 3 dhidi ya 2 walimpa ushindi mpinzani wake Min...
09 Mar, 2024
KUFUZU OLIMPIKI: CHANGALAWE APOTEZA KWA POINTI DHIDI YA MNORWAY
09 Mar, 2024
MICHUANO YA ALL AFRICAN GAME 2023 YAANZA KUTIMUA VUMBI NCHINI GHANA.
Mashindano ya Afrika (All African Games 2023) yamezinduliwa rasmi Machi 8, 2024 Jijini Accra, Ghana yakiongozwa na Rais wa nchi hiyo Mhe. Nana Akufo Addo, huku yakishuhudiwa na Wanamichezo kutoka Mata...
09 Mar, 2024
MICHUANO YA ALL AFRICAN GAME 2023 YAANZA KUTIMUA VUMBI NCHINI GHANA.
08 Mar, 2024
TANZANIA YATOKA SARE NA NIGERIA KRIKETI
Mashindano ya Afrika ( All African Games 2023) yameanza kutimua vumbi jijini Accra, Ghana ambapo katika mchezo wa kwanza uliochezwa mapema Machi 7, 2024 Timu ya Taifa ya Tanzania ya Kriketi iligawana...
08 Mar, 2024
TANZANIA YATOKA SARE NA NIGERIA KRIKETI
08 Mar, 2024
KUFUZU OLIMPIKI: CHANGALAWE KUPIMANA UWEZO NA MNORWAY.
Bondia Yusuf Changalawe anatarajiwa kupanda ulingoni jioni ya leo Machi 08, 2024 dhidi ya Mindaugas Gedminas kutoka nchini Norway katika muendelezo wa mashindano ya kwanza ya Dunia ya kufuzu kushiriki...
08 Mar, 2024
KUFUZU OLIMPIKI: CHANGALAWE KUPIMANA UWEZO NA MNORWAY.
08 Mar, 2024
KIKAO CHA KAMATI YA UKAGUZI
Kamati ya Ukaguzi iliyopo chini ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT) leo Machi 08, 2024 imekaa na menejimenti ya Baraza kupitia utekelezaji na kujiridhisha na hoja za wakaguzi wa ndani na nje Aidha...
08 Mar, 2024
KIKAO CHA KAMATI YA UKAGUZI