Habari
17 Jan, 2025
MAFUNZO YA MICHEZO KWA JAMII
Nelson Kasiti (shati jeupe) mwakilishi wa Katibu Tawala wa Wilaya ya Muheza Januari 17, 2025 alifunga mafunzo kwa walimu wa shule za Msingi na Sekondari wilayani Muheza Mkoani Tanga akiwataka wanufaik...
17 Jan, 2025
MAFUNZO YA MICHEZO KWA JAMII
MAFUNZO YA MICHEZO KWA JAMII
15 Jan, 2025
MSIGWA: VYAMA VYA MICHEZO VIACHE MIGOGORO
Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amevitaka vya vya michezo kuongea lugha moja kwa ajili ya maslahi ya Taifa.
Amesema vyama hivyo kuachana na migogoro na kutumia...
15 Jan, 2025
MSIGWA: VYAMA VYA MICHEZO VIACHE MIGOGORO
MSIGWA: VYAMA VYA MICHEZO VIACHE MIGOGORO
15 Jan, 2025
DKT. BITEKO AOMBA SAPOTI YA WATANZANIA KWA TAIFA STARS
Serikali imewaomba wadau wa soka kuisapoti timu ya taifa 'Taifa Stars' katika maandalizi ya kujiandaa na michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani 'CHAN' yatakayofanyika Ago...
15 Jan, 2025
DKT. BITEKO AOMBA SAPOTI YA WATANZANIA KWA TAIFA STARS
DKT. BITEKO AOMBA SAPOTI YA WATANZANIA KWA TAIFA STARS
15 Jan, 2025
MWANA FA : TANZANIA ITAKUJA KITOFAUTI
NAIBU Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma ‘Mwana FA’, amesema kusogezwa mbele kwa miezi sita ya maandalizi ya mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji w...
15 Jan, 2025
MWANA FA : TANZANIA ITAKUJA KITOFAUTI
MWANA FA : TANZANIA ITAKUJA KITOFAUTI
15 Jan, 2025
KUAHIRISHWA CHAN KUMETUPA NAFUU
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Leodger Tenga amesema Kuahirishwa kwa fainali za mataifa kwa wachezaji wa ndani 'Chan' kumewapa nafuu kubwa ya kuendelea na maandalizi.
Michua...
15 Jan, 2025
KUAHIRISHWA CHAN KUMETUPA NAFUU
KUAHIRISHWA CHAN KUMETUPA NAFUU
15 Jan, 2025
MSIGWA : KUSOGEZWA CHAN NI FAIDA KWETU
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema kusogezwa mbele kwa michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024, inatoa muda wa kuendelea na...
15 Jan, 2025
MSIGWA : KUSOGEZWA CHAN NI FAIDA KWETU
MSIGWA : KUSOGEZWA CHAN NI FAIDA KWETU