Habari

02 Oct, 2025
TANZANIA mabingwa wa mashindano ya mpira wa miguu ukanda wa Afrika Mas...
Timu ya Umoja wa Maveterani wa soka Tanzania (UMUSOTA) imetwaa ubingwa wa mashindano ya mpira wa miguu kwa ukanda wa Afrika Mashariki ‘The East Africa Legends Football Tournament’ baada ya...
02 Oct, 2025
TANZANIA mabingwa wa mashindano ya mpira wa miguu ukanda wa Afrika Mas...
22 Sep, 2025
Ngome mabingwa wa klabu bingwa ngumi Taifa 2025
Timu ya Ngome inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imefanikiwa kutwaa Ubingwa katika mashindano la Klabu Bingwa ya Taifa Tanga 2025, Septemba 20, 2025 katika uwanja wa michezo wa Urit...
22 Sep, 2025
Ngome mabingwa wa klabu bingwa ngumi Taifa 2025
15 Sep, 2025
Wizara ya Maliasili Yaibuka Kidedea Mchezo wa Drafti SHIMIWI 2025
Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kufanya vizuri katika medani ya michezo kwa kuibuka kidedea katika mchezo wa drafti kwenye Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Wizara na Idara za Serikali (...
15 Sep, 2025
Wizara ya Maliasili Yaibuka Kidedea Mchezo wa Drafti SHIMIWI 2025
15 Sep, 2025
SIMBU AIBUKA KINARA MBIO ZA UBINGWA WA DUNIA KWA WANAUME
Mwanariadha Alphonce Felix Simbu ashinda mbio za riadha za dunia ambazo zinafanyika jijini Tokyo, nchini Japani na kumshinda mpinzani wake kwa tofauti ya sekunde 0.03 ambaye ni mwanariadha kutoka Ujer...
15 Sep, 2025
SIMBU AIBUKA KINARA MBIO ZA UBINGWA WA DUNIA KWA WANAUME
12 Sep, 2025
TEMBO WARRIORS WAFUZU FAINALI.
Timu ya Taifa ya Mpira ya miguu kwa watu wenye ulemavu (Tembo Warriors) imetinga hatua ya fainali ya mashindano ya Afrika Mashariki na kati ya mpira wa watu wenye ulemavu (CECAAF) baada ya ushindi wa...
12 Sep, 2025
TEMBO WARRIORS WAFUZU FAINALI.
12 Sep, 2025
VOSTER NA REHEMA WAFUZU HATUA YA NUSU FAINALI
Wacheza tenesi kwa kutumia kitimwendo Voster Peter na Rehema Said wafuzu hatua ya nusu fainali ya mashindano ya International Tennis Federation tournament (Nairobi I &II Championship 2025) yanayof...
12 Sep, 2025
VOSTER NA REHEMA WAFUZU HATUA YA NUSU FAINALI