TAIFA STARS KUWASILI SAA 4 ASUBUHI.
08 Jan, 2026
Timu ya Taifa Taifa stars wakiwa uwanja wa Ndege Rabat, Morocco kwa safari ya kurudi nyumbani baada ya kutolewa kwenye hatua ya 16 bora fainali za TotalEnergies AFCON 2025, kikosi hicho kitatua uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kesho saa 4 asubuhi

