Mkutano wa pili wa Bunge la 13.
service image
27 Jan, 2026

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda (katikati) akiwasili Bungeni jijini Dodoma, leo Januari 27, 2026 kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha kwanza cha Mkutano wa pili wa Bunge la 13.