MASHINDANO YA RIADHA KUNDI MAALUM
 
                            
                                
                                     13 Mar, 2022
                                
                            
                            Maandalizi ya Mashindano ya Riadha kwa watu wenye ulemavu yaliyoandaliwa na kamati ya Paralimpiki Tanzania (TPC) yakiendelea uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.



 
                               
                              