HAMASA TAIFA STARS
service image
27 Jul, 2025

Baadhi ya Matukio ya hamasa ya kuchagiza kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu ya taifa katika mechi ya ufunguzi ya Michuano ya CHAN 2024 hamasa iliyofanyika katika kituo cha Mabasi Tegeta nyuki , jijini Dar es Salaam

Na mechi ya ufunguzi ni kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania na Burkinafaso, Tarehe 2 Agosti, 2025 katika uwanja wa Benjamin William Mkapa.