Sherehe za ufunguzi wa mashindano ya SHIMIWI
                            
                                
                                     07 Sep, 2025
                                
                            
                            Mgeni rasmi Mhe. Doto Mashaka Biteko , Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati akiwa kwenye picha ya Pamoja na Watumishi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) mara baada ya ufunguzi wa mashindano ya SHIMIWI Septemba 7, 2025 jijini Mwanza.

