TEMBO WARRIORS YAWASILI BUJUMBURA.
service image
07 Sep, 2025

Kikosi cha Timu ya Taifa ya mpira wa miguu kwa Watu wenye Ulemavu Tembo Warriors kimewasili salama katika Jiji la Bujumbura nchini Burundi tayari kwa mashindano ya Afrika Mashariki yatakayofanyika nchini humo kuanzia tarehe 08 Septemba 2025