MASHINDANO YA RIADHA YA WANAWAKE (LADIES FIRST) KUFANYIKA TAREHE 20-21 JANUARI 2023 KATIKA VIWANJA VYA BENJAMINI MKAPA, DAR-ES-SALAAM
service image
04 Jan, 2023 6.00 AM - 16.00 PM MKAPA STADIUM - DAR-ES-SALAAM

Mashindano ya Riadha ya Wanawake (Ladies First) yanayoandaliwa na Baraza la Michezo la Taifa kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano la Kimataifa la Japan (JICA) kwa awamu ya nne kwa  mwaka 2023. Mashindao hayo yatafanyika Tarehe 20-21 Januari 2023, katika viwanja vya Benjamini Mkapa Stadium, ambayo yatashirikisha wachezaji wanawake  kutoka Mikoa ya Tanzania  Bara na Visiwani.