Mkutano wa BMT na Viongozi wa Vyama vya Michezo/Mashirikisho ya Michezo Tanzania Bara
service image
11 Mar, 2026 2.30-10.30 BENJAMINI MKAPA STADIUM

Mkutano wa BMT na Viongozi wa Vyama vya Michezo/Mashirikisho ya Michezo Tanzania Bara utafanyika tarehe 13 Machi, 2026 kuanzia  saa 2.30 asubuhi katika Ukumbi wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar-es-salaam