SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

01 May, 2025
Watumishi wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) leo Mei Mosi, 2025 wameianza hivi siku ya wafanyakazi duniani wakielekea katika Uwanja wa Tanganyika Packers ambapo maadhimisho ya siku hii yanafanyika kwa watumishi wa Mkoa wa Dar es salam.