MASHINDANO YA UMISSETA TAIFA 2023 MKOANI TABORA
![service image](https://www.bmt.go.tz/uploads/news/da102ac10964b340fef50bb2a1ee0a10.webp)
17 Jun, 2023
Mbio za mchujo za kupokezana kijiti mita 100 x 4 zikiwa zinaendelea katika uwanja wa Shule ya Sekondari wavulana Tabora, ikiwa ni mashindano ya UMISSETA TAIFA 2023