PONGEZI.
service image
11 Jun, 2024

Hongera timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) kwa kuibuka na ushindi wa goli 1- 0 dhidi ya timu ya taifa Zambia (Chipolopolo) katika mchezo wa kundi "E" Kuwania kufuzu kombe la Dunia uliochezwa Juni 11, 2024 katika uwanja wa wa Levy Mwanawasa Ndola Nchini humo.

slot gacor