ADA ZA USAJILI NA MWAKA KWA VYAMA VYA MICHEZO
                            
                                
                                     12 Sep, 2022
                                
                            
                            Msajili wa vyama vya michezo nchini Riziki Majala amevitaka Vyama vya Michezo kulipa ada za mwaka pamoja na kuwakumbusha wanachama wao kutekeleza wajibu huo pasina kusubiri faini kwa kuchelewa kulipa.


