Generic placeholder
Bw. Leodegar Tenga

Mwenyekiti wa Bodi

Wasifu

Sisi ni nani

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ni Taasisi ya kiserikali iliyoundwa na Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa sheria Na. 12 ya mwaka 1967 na marekebisho yake ya sheria Na.6 ya mwaka 1971 na Kanuni za Baraza la Michezo la Taifa na Kanuni za usajili Na.442 za mwaka 1999 na ndio chombo pekee kilichopewa mamlaka na Bunge kusimamia Michezo nchini.  Aidha Baraza la Michezo la Taifa ni Taasisi iliyopo chini ya Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo. 
22 May, 2023
BMT YAKABIDHI TIKETI ZA ZAIDI...
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limekabidhi tiketi z...
22 May, 2023 BMT YAKABIDHI TIKETI ZA ZAIDI YA MILIONI...
21 May, 2023
MHESHIMIWA PINDI CHANA ATOA WI...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Balozi Dkt. Pindi Chana ametoa w...
21 May, 2023 MHESHIMIWA PINDI CHANA ATOA WITO WANAWAK...
21 May, 2023
MICHEZO KUTUMIKA KUIMARISHA US...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Balozi Dokta Pindi Chana amesema...
21 May, 2023 MICHEZO KUTUMIKA KUIMARISHA USHIRIKIANO
30 May, 2023
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA C...
Chama cha Mchezo wa Darts Tanzania (TADA) kinataraji kufanya Ucha...
30 May, 2023 UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CHAMA CHA DARTS...
20 Apr, 2023
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA C...
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) linapenda kuwatangazia wanachama...
20 Apr, 2023 UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CHAMA BAISKELI T...
04 Jan, 2023
MASHINDANO YA RIADHA YA W...
Mashindano ya Riadha ya Wanawake (Ladies First) yanayoandaliwa na...
04 Jan, 2023 MASHINDANO YA RIADHA YA WANAWAKE (LADIES...

Nifanyaje

Utaratibu wa Kusajili Vyama/Mshirikisho, Taasisi za Michezo ni kama ifuatavyo: 3.(I) Chama chochote kinachotaka kusajiliwa kitapeleka maombi yake kwa Msajili Msaidizi aliyeko katika Wilaya ambayo ni makao makuu ya chama hicho. Maombi haya yaambatanishwe na: Muhtasari wa kikao cha...
 ADA ZA USAJILI NA ADA ZA MWAKA. Mabadiliko haya ya Ada za Usajili na Ada za Mwaka ni kwa mujibu wa Kanuni ya 25 (5) ya Kanuni za Usajili wa Vyama vya Michezo 2020. Na. AINA YA CHAMA ADA YA USAJILI (Itatolewa mara moja wakati wa usajli tu)...
BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA LINAPATIKANA UWANJA WA TAIFA (GHOROFA YA PILI) S.L.P 20116 Dar-es-salaam,TANZANIA baruapepe : info@nationalsportscouncil.go.tz tovuti:-  https://bmt.go.tz/