Sisi ni nani

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ni Taasisi ya serikali iliyoundwa na Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa sheria Na. 12 ya mwaka 1967 na marekebisho yake ya sheria Na.6 ya mwaka 1971 na Kanuni za Baraza la Michezo la Taifa na Kanuni za usajili Na.442 za mwaka 1999 na ndio chombo pekee kilichopewa mamlaka na Bunge kusimamia Michezo nchini.  Aidha Baraza la Michezo la Taifa ni Taasisi iliyopo chini ya Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo. 
10 Mar, 2026
BMT, JICA NA TIKA WAIMARISHA N...
  Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kwa kushirikiana na Taasisi...
10 Mar, 2026 BMT, JICA NA TIKA WAIMARISHA NA KUKUZA M...
07 Mar, 2026
BMT YAIMARISHA USHIRIKIANO WA...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bi. Neema Msitha,...
07 Mar, 2026 BMT YAIMARISHA USHIRIKIANO WA MAENDELEO...
03 Mar, 2026
BMT KUJA NA MSIMU WA NNE WA TU...
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kupitia Kamati ya Usimamizi wa Tuzo z...
03 Mar, 2026 BMT KUJA NA MSIMU WA NNE WA TUZO ZA BARA...
11 Mar, 2026
MKUTANO WA WAANDISHI WA H...
Mkutano wa Waandishi wa habari na Msajili wa Vyama/Mashirikisho y...
11 Mar, 2026 MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI
11 Mar, 2026
Mkutano wa BMT na Viongoz...
Mkutano wa BMT na Viongozi wa Vyama vya Michezo/Mashirikisho ya M...
11 Mar, 2026 Mkutano wa BMT na Viongozi wa Vyama vya...
11 Apr, 2025
TUZO KWA WANAMICHEZO BORA...
TUZO KWA WANAMICHEZO BORA 2024
11 Apr, 2025 TUZO KWA WANAMICHEZO BORA 2024

Nifanyaje

A. KUSAJILI KWA KUPITIA MFUMO WA SARS : SaRS ni mfumo wa kidigitali unaomwezesha mdau/mteja wa michezo kuweza kujisajili online, pamoja na kupata huduma zote zinazohusu usajili kwa kutumia mfumo. Mteja/mdau ataweza kujisajili kwa kutumia mfumo. Taratibu za Kujisajili kwa Kupitia Mfumo wa SaR...
 ADA ZA USAJILI NA ADA ZA MWAKA. Mabadiliko haya ya Ada za Usajili na Ada za Mwaka ni kwa mujibu wa Kanuni ya 25 (5) ya Kanuni za Usajili wa Vyama vya Michezo 2020. Na. AINA YA CHAMA ADA YA USAJILI (Itatolewa mara moja wakati wa usajli tu)...
BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA LINAPATIKANA UWANJA WA TAIFA (GHOROFA YA PILI) S.L.P 20116 Dar-es-salaam,TANZANIA baruapepe : info@nationalsportscouncil.go.tz tovuti:-  https://bmt.go.tz/