Generic placeholder
Bw. Leodegar Tenga

Mwenyekiti wa Bodi

Wasifu

Sisi ni nani

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ni Taasisi ya serikali iliyoundwa na Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa sheria Na. 12 ya mwaka 1967 na marekebisho yake ya sheria Na.6 ya mwaka 1971 na Kanuni za Baraza la Michezo la Taifa na Kanuni za usajili Na.442 za mwaka 1999 na ndio chombo pekee kilichopewa mamlaka na Bunge kusimamia Michezo nchini.  Aidha Baraza la Michezo la Taifa ni Taasisi iliyopo chini ya Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo. 
20 Sep, 2023
DKT. NDUMBARO ASISITIZA WADAU...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro leo tar...
20 Sep, 2023 DKT. NDUMBARO ASISITIZA WADAU KUSHIRIKIA...
16 Sep, 2023
WACHEZAJI WA TANZANIA WAENDELE...
Wachezaji wa Tanzania wakiongozwa na mchezaji mwenye kiwango bora bara...
16 Sep, 2023 WACHEZAJI WA TANZANIA WAENDELEA KUNG’ARA...
13 Sep, 2023
WAZIRI DKT. NDUMBARO AAGIZA MK...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amemuag...
13 Sep, 2023 WAZIRI DKT. NDUMBARO AAGIZA MKANDARASI B...
30 May, 2023
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA C...
Chama cha Mchezo wa Darts Tanzania (TADA) kinataraji kufanya Ucha...
30 May, 2023 UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CHAMA CHA DARTS...
20 Apr, 2023
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA C...
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) linapenda kuwatangazia wanachama...
20 Apr, 2023 UCHAGUZI WA VIONGOZI WA CHAMA BAISKELI T...
04 Jan, 2023
MASHINDANO YA RIADHA YA W...
Mashindano ya Riadha ya Wanawake (Ladies First) yanayoandaliwa na...
04 Jan, 2023 MASHINDANO YA RIADHA YA WANAWAKE (LADIES...

Nifanyaje

A. KUSAJILI KWA KUPITIA MFUMO WA SARS : SaRS ni mfumo wa kidigitali unaomwezesha mdau/mteja wa michezo kuweza kujisajili online, pamoja na kupata huduma zote zinazohusu usajili kwa kutumia mfumo. Mteja/mdau ataweza kujisajili kwa kutumia mfumo. Taratibu za Kujisajili kwa Kupitia Mfumo wa SaR...
 ADA ZA USAJILI NA ADA ZA MWAKA. Mabadiliko haya ya Ada za Usajili na Ada za Mwaka ni kwa mujibu wa Kanuni ya 25 (5) ya Kanuni za Usajili wa Vyama vya Michezo 2020. Na. AINA YA CHAMA ADA YA USAJILI (Itatolewa mara moja wakati wa usajli tu)...
BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA LINAPATIKANA UWANJA WA TAIFA (GHOROFA YA PILI) S.L.P 20116 Dar-es-salaam,TANZANIA baruapepe : info@nationalsportscouncil.go.tz tovuti:-  https://bmt.go.tz/